Liyajziya Allāhu Kulla Nafsin Mā Kasabat 'Inna Allāha Sarī`u Al-Ĥisābi ('ibrāhīm: 51).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
51. Ili Mwenyezi Mungu ailipe kila nafsi kwa yale iliyo yachuma. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.