Wa Yaqūlu Al-Ladhīna Kafarū Lasta Mursalāan Qul Kafaá Billāhi Shahīdāan Baynī Wa Baynakum Wa Man `Indahu `Ilmu Al-Kitābi (Ar-Ra`d: 43).

Next Sūrah >>    Recite again    
43. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.