Qāla 'Innamā 'Ashkū Baththī Wa Ĥuznī 'Ilaá Allāhi Wa 'A`lamu Mina Allāhi Mā Lā Ta`lamūna (Yūsuf: 86).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
86. Akasema: Hakika mimi namshitakia Mwenyezi Mungu sikitiko langu na huzuni yangu. Na ninajua kwa Mwenyezi Mungu msiyo yajua nyinyi.