Qālū 'Ata`jabīna Min 'Amri Allāhi Raĥmatu Allāhi Wa Barakātuhu `Alaykum 'Ahla Al-Bayti 'Innahu Ĥamīdun Majīdun (Hūd: 73). |
73. Wakasema: Je, unastaajabia amri ya Mwenyezi Mungu? Rehema ya Mwenyezi Mungu na baraka zake ziko juu yenu, enyi watu wa nyumba hii! Hakika Yeye ndiye Msifiwa wa kutukuzwa. |