Wa 'In Yamsaska Allāhu Biđurrin Falā Kāshifa Lahu 'Illā Huwa Wa 'In Yuridka Bikhayrin Falā Rādda Lifađlihi Yuşību Bihi Man Yashā'u Min `Ibādihi Wa Huwa Al-Ghafūru Ar-Raĥīmu (Yūnis: 107). |
| 107. Na Mwenyezi Mungu akikugusisha madhara, basi hapana wa kukuondolea ila Yeye. Na akikutakia kheri, basi hapana awezaye kurudisha fadhila yake. Huifikisha kwa amtakaye katika waja wake, na Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu. |