Wa Qāla Mūsaá Rabbanā 'Innaka 'Ātayta Fir`awna Wa Mala'ahu Zīnatan Wa 'Amwālāan Al-Ĥayāati Ad-Dunyā Rabbanā Liyuđillū `An Sabīlika Rabbanā Aţmis `Alaá 'Amwālihim Wa Ashdud `Alaá Qulūbihim Falā Yu'uminū Ĥattaá Yaraw Al-`Adhāba Al-'Alīma (Yūnis: 88).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
88. Na Musa akasema: Mola wetu Mlezi! Hakika wewe umempa Firauni na wakuu wake mapambo na mali katika maisha ya dunia. Hivyo wanapoteza watu na Njia yako. Mola wetu Mlezi! Yafutilie mbali mali yao na zifunge nyoyo zao, wasiamini mpaka waione adhabu chungu.