Thumma Ba`athnā Min Ba`dihim Mūsaá Wa Hārūna 'Ilaá Fir`awna Wa Mala'ihi Bi'āyātinā Fāstakbarū Wa Kānū Qawmāan Mujrimīna (Yūnis: 75). |
| 75. Kisha baada yao tukamtuma Musa na Haruni kwa Firauni na waheshimiwa wake, kwa Ishara zetu. Wakajivuna, na wakawa watu wakosefu. |