Qul Hal Min Shurakā'ikum Man Yahdī 'Ilaá Al-Ĥaqqi Qul Allāhu Yahdī Lilĥaqqi 'Afaman Yahdī 'Ilaá Al-Ĥaqqi 'Aĥaqqu 'An Yuttaba`a 'Amman Lā Yahiddī 'Illā 'An Yuhdaá Famā Lakum Kayfa Taĥkumūna (Yūnis: 35).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
35. Sema: Je! Yupo katika miungu yenu ya ushirikina anaye ongoa kwendea Haki? Sema: Mwenyezi Mungu anaongoa kwendea Haki. Basi, je, anaye stahiki kufuatwa ni yule Mwenye kuongoa kwendea Haki au asiye ongoa ila aongozwe yeye? Basi nyinyi mna nini? Mnahukumu namna gani?