'Inna Allāha Lahu Mulku As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Yuĥyī Wa Yumītu Wa Mā Lakum Min Dūni Allāhi Min Wa Līyin Wa Lā Naşīrin (At-Tawbah: 116). |
| 116. Hakika Mwenyezi Mungu anao ufalme wa mbingu na ardhi; huhuisha na hufisha. Nanyi hamna Mlinzi wala Msaidizi isipo kuwa Mwenyezi Mungu. |