'Inna Allāha Ashtaraá Mina Al-Mu'uminīna 'Anfusahum Wa 'Amwālahum Bi'anna Lahum Al-Jannata Yuqātilūna Fī Sabīli Allāhi Fayaqtulūna Wa Yuqtalūna Wa`dāan `Alayhi Ĥaqqāan At-Tawrāati Wa Al-'Injīli Wa Al-Qur'āni Wa Man 'Awfaá Bi`ahdihi Mina Allāhi Fāstabshirū Bibay`ikum Al-Ladhī Bāya`tum Bihi Wa Dhalika Huwa Al-Fawzu Al-`Ažīmu (At-Tawbah: 111).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
111. Hakika Mwenyezi Mungu amenunua kwa Waumini nafsi zao na mali zao kwa kuwa wao watapata Pepo. Wanapigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu - wanauwa na wanauwawa. Hii ni ahadi aliyo jilazimisha kwa Haki katika Taurati na Injili na Qur'ani. Na nani atimizae ahadi kuliko Mwenyezi Mungu? Basi furahini kwa biashara yenu mliyo fanya naye. Na huko ndiko kufuzu kukubwa,