'Afaman 'Assasa Bunyānahu `Alaá Taqwaá Mina Allāhi Wa Riđwānin Khayrun 'Am Man 'Assasa Bunyānahu `Alaá Shafā Jurufin Hārin Fānhāra Bihi Fī Nāri Jahannama Wa Allāhu Lā Yahdī Al-Qawma Až-Žālimīna (At-Tawbah: 109).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
109. Je! Mwenye kuweka msingi wa jengo lake juu ya kumcha Mwenyezi Mungu na radhi zake ni bora au mwenye kuweka msingi wa jengo lake juu ya ukingo wa shimo linalo burugunyika, na likaburugunyika naye katika Moto wa Jahannamu? Na Mwenyezi Mungu hawaongoi watu madhaalimu.