'Innamā As-Sabīlu `Alaá Al-Ladhīna Yasta'dhinūnaka Wa Hum 'Aghniyā'u Rađū Bi'an Yakūnū Ma`a Al-Khawālifi Wa Ţaba`a Allāhu `Alaá Qulūbihim Fahum Lā Ya`lamūna (At-Tawbah: 93). |
| 93. Ipo njia ya kuwalaumu wale wanao kuomba ruhusa wasende vitani na hali wao ni matajiri. Wameridhia kuwa pamoja na wanao bakia nyuma. Na Mwenyezi Mungu amewapiga muhuri juu ya nyoyo zao. Kwa hivyo hawajui. |