'Alam Ya`lamū 'Anna Allāha Ya`lamu Sirrahum Wa Najwāhum Wa 'Anna Allāha `Allāmu Al-Ghuyūbi (At-Tawbah: 78).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
78. Je, hawajui kwamba Mwenyezi Mungu anajua siri zao na minong'ono yao, na kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyajua sana ya ghaibu?