Fa'a`qabahum Nifāqāan Fī Qulūbihim 'Ilaá Yawmi Yalqawnahu Bimā 'Akhlafū Allāha Mā Wa`adūhu Wa Bimā Kānū Yakdhibūna (At-Tawbah: 77). |
| 77. Basi akawalipa unaafiki kuutia nyoyoni mwao mpaka Siku watapo kutana naye, kwa sababu ya kuwa walimkhalifu Mwenyezi Mungu katika yale waliyo muahidi, na kwa sababu ya kusema kwao uwongo. |