Fa'a`qabahum Nifāqāan Fī Qulūbihim 'Ilaá Yawmi Yalqawnahu Bimā 'Akhlafū Allāha Mā Wa`adūhu Wa Bimā Kānū Yakdhibūna (At-Tawbah: 77).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
77. Basi akawalipa unaafiki kuutia nyoyoni mwao mpaka Siku watapo kutana naye, kwa sababu ya kuwa walimkhalifu Mwenyezi Mungu katika yale waliyo muahidi, na kwa sababu ya kusema kwao uwongo.