Qul Hal Tarbbaşūna Binā 'Illā 'Iĥdaá Al-Ĥusnayayni Wa Naĥnu Natarabbaşu Bikum 'An Yuşībakumu Allāhu Bi`adhābin Min `Indihi 'Aw Bi'aydīnā Fatarabbaşū 'Innā Ma`akum Mutarabbişūna (At-Tawbah: 52).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
52. Sema: Hivyo mnatutazamia litupate lolote isipo kuwa moja katika mema mawili? Na sisi tunakutazamieni kuwa Mwenyezi Mungu akufikishieni adhabu itokayo kwake, au kutokana na mikono yetu. Basi ngojeni, nasi tunangoja pamoja nanyi.