Wa 'Immā Takhāfanna Min Qawmin Khiyānatannbidh 'Ilayhim `Alaá Sawā'in 'Inna Allāha Lā Yuĥibbu Al-Khā'inīna (Al-'Anfāl: 58).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
58. Na ukichelea khiana kwa watu fulani basi watupilie ahadi yao kwa usawa. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi makhaini.