Yas'alūnaka `An As-Sā`ati 'Ayyāna Mursāhā Qul 'Innamā `Ilmuhā `Inda Rabbī Lā Yujallīhā Liwaqtihā 'Illā Huwa Thaqulat Fī As-Samāwāti Wa Al-'Arđi Lā Ta'tīkum 'Illā Baghtatan Yas'alūnaka Ka'annaka Ĥafīyun `Anhā Qul 'Innamā `Ilmuhā `Inda Allāhi Wa Lakinna 'Akthara An-Nāsi Lā Ya`lamūna (Al-'A`rāf: 187).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
187. Wanakuuliza hiyo Saa (ya mwisho) itakuwa lini? Sema: Kuijua kwake kuko kwa Mola Mlezi wangu. Haidhihirishi hiyo kwa wakati wake ila Yeye. Ni nzito katika mbingu na ardhi. Haikujiini ila kwa ghafla tu. Wanakuuliza kama kwamba wewe una pupa ya kuijua. Sema: Ujuzi wake uko kwa Mwenyezi Mungu. Lakini aghlabu ya watu hawajui.