Wa Lillahi Al-'Asmā'u Al-Ĥusnaá Fād`ūhu Bihā Wa Dharū Al-Ladhīna Yulĥidūna Fī 'Asmā'ihi Sayujzawna Mā Kānū Ya`malūna (Al-'A`rāf: 180). |
| 180. Na Mwenyezi Mungu ana majina mazuri kabisa, basi muombeni kwa hayo. Na waacheni wale wanao haribu utakatifu wa majina yake. Hao watakuja lipwa waliyo kuwa wakiyatenda. |