Wa Qaţţa`nāhum Fī Al-'Arđi 'Umamāan Minhumu Aş-Şāliĥūna Wa Minhum Dūna Dhālika Wa Balawnāhum Bil-Ĥasanāti Wa As-Sayyi'āti La`allahum Yarji`ūna (Al-'A`rāf: 168). |
168. Na tuliwafarikisha katika ardhi makundi makundi. Wako kati yao walio wema, na wengine kinyume cha hivyo. Na tukawajaribu kwa mema na mabaya ili wapate kurejea. |