Wa 'Idh Qālat 'Ummatun Minhum Lima Ta`ižūna Qawmāan Allāhu Muhlikuhum 'Aw Mu`adhdhibuhum `Adhābāan Shadīdāan Qālū Ma`dhiratan 'Ilaá Rabbikum Wa La`allahum Yattaqūna (Al-'A`rāf: 164). |
164. Na kikundi kati yao walisema: Kwa nini mnawawaidhi watu ambao tangu hapo Mwenyezi Mungu atawateketeza au atawaadhibu adhabu kali? Wakasema: Ili uwe ni udhuru kwa Mola Mlezi wenu, na huenda nao wakamchamngu. |