Wa Jāwaznā Bibanī 'Isrā'īla Al-Baĥra Fa'ataw `Alaá Qawmin Ya`kufūna `Alaá 'Aşnāmin Lahum Qālū Yā Mūsaá Aj`al Lanā 'Ilahāan Kamā Lahum 'Ālihatun Qāla 'Innakum Qawmun Tajhalūna (Al-'A`rāf: 138).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
138. Na tukawavusha bahari Wana wa Israili, wakafika kwa watu wanao abudu masanamu yao. Wakasema: Ewe Musa! Hebu tufanyie na sisi miungu kama hawa walivyo kuwa na miungu. Musa akasema: Hakika nyinyi ni watu msio jua kitu.