Qāla Mūsaá Liqawmihi Asta`īnū Billāhi Wa Aşbirū 'Inna Al-'Arđa Lillāhi Yūrithuhā Man Yashā'u Min `Ibādihi Wa Al-`Āqibatu Lilmuttaqīna (Al-'A`rāf: 128). |
128. Musa akawaambia watu wake: Ombeni msaada kwa Mwenyezi Mungu, na subirini. Hakika ardhi ni ya Mwenyezi Mungu. Naye humrithisha amtakaye katika waja wake. Na mwisho ni wa wachamngu. |