Wa Huwa Al-Qāhiru Fawqa `Ibādihi Wa Yursilu `Alaykum Ĥafažatan Ĥattaá 'Idhā Jā'a 'Aĥadakum Al-Mawtu Tawaffat/hu Rusulunā Wa Hum Lā Yufarriţūna (Al-'An`ām: 61). |
61. Naye ndiye Mwenye nguvu za kushinda, aliye juu ya waja wake. Na hukupelekeeni waangalizi, mpaka mmoja wenu yakimjia mauti wajumbe wetu humfisha, nao hawafanyi taksiri. |