Al-Ĥamdu Lillāhi Al-Ladhī Khalaqa As-Samāwāti Wa Al-'Arđa Wa Ja`ala Až-Žulumāti Wa An-Nūr Thumma Al-Ladhīna Kafarū Birabbihim Ya`dilūna (Al-'An`ām: 1).

<< Previous Sūrah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
1. Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu aliye umba mbingu na ardhi, na akafanya giza na mwangaza. Tena baada ya haya walio kufuru wanawafanya wengine sawa na Mola wao Mlezi.