Dhālika 'Adnaá 'An Ya'tū Bish-Shahādati `Alaá Wajhihā 'Aw Yakhāfū 'An Turadda 'Aymānun Ba`da 'Aymānihim Wa Attaqū Allāha Wa Asma`ū Wa Allāhu Lā Yahdī Al-Qawma Al-Fāsiqīna (Al-Mā'idah: 108). |
108. Hivi inaelekea zaidi ya kwamba watatoa ushahidi ulio sawa au wataogopa visije vikaletwa viapo vingine baada ya viapo vyao. Na mcheni Mwenyezi Mungu na msikie. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wapotofu. |