Lu`ina Al-Ladhīna Kafarū Min Banī 'Isrā'īla `Alaá Lisāni Dāwūda Wa `Īsaá Abni Maryama Dhālika Bimā `Aşaw Wa Kānū Ya`tadūna (Al-Mā'idah: 78). |
78. Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka. |