Qul Hal 'Unabbi'ukum Bisharrin Min Dhālika Mathūbatan `Inda Allāhi Man La`anahu Allāhu Wa Ghađiba `Alayhi Wa Ja`ala Minhum Al-Qiradata Wa Al-Khanāzīra Wa `Abada Aţ-Ţāghūta 'Ūlā'ika Sharrun Makānāan Wa 'Ađallu `An Sawā'i As-Sabīli (Al-Mā'idah: 60).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
60. Sema: Je! Nikwambieni yule ambaye ni mwenye malipo mabaya zaidi kuliko hayo mbele ya Mwenyezi Mungu? Ni yule ambaye Mwenyezi Mungu amemlaani na amemkasirikia, na amewafanya miongoni mwao manyani na nguruwe, na wakamuabudu Shet'ani. Hao ndio wenye mahali pabaya na wamepotea zaidi njia iliyo sawa.