Rusulāan Mubashshirīna Wa Mundhirīna Li'llā Yakūna Lilnnāsi `Alaá Allāhi Ĥujjatun Ba`da Ar-Rusuli Wa Kāna Allāhu `Azīzāan Ĥakīmāan (An-Nisā': 165). |
165. Mitume hao ni wabashiri na waonyaji, ili watu wasiwe na hoja juu ya Mwenyezi Mungu baada ya kuletewa Mitume. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima. |