Wa Qawlihim 'Innā Qatalnā Al-Masīĥa `Īsaá Abna Maryama Rasūla Allāhi Wa Mā Qatalūhu Wa Mā Şalabūhu Wa Lakin Shubbiha Lahum Wa 'Inna Al-Ladhīna Akhtalafū Fīhi Lafī Shakkin Minhu Mā Lahum Bihi Min `Ilmin 'Illā Attibā`a Až-Žanni Wa Mā Qatalūhu Yaqīnāan (An-Nisā': 157).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.