Yas'aluka 'Ahlu Al-Kitābi 'An Tunazzila `Alayhim Kitābāan Mina As-Samā'i Faqad Sa'alū Mūsaá 'Akbara Min Dhālika Faqālū 'Arinā Allāha Jahratan Fa'akhadhat/hum Aş-Şā`iqatu Bižulmihim Thumma Attakhadhū Al-`Ijla Min Ba`di Mā Jā'at/hum Al-Bayyinātu Fa`afawnā `An Dhālika Wa 'Ātaynā Mūsaá Sulţānāan Mubīnāan (An-Nisā': 153).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
153. Watu wa Kitabu wanakutaka uwateremshia kitabu kutoka mbinguni. Na kwa hakika walikwisha mtaka Musa makubwa kuliko hayo. Walisema: Tuonyeshe Mwenyezi Mungu wazi wazi. Wakapigwa na radi kwa hiyo dhulma yao. Kisha wakamchukua ndama kumuabudu, baada ya kwisha wajia hoja zilizo wazi. Nasi tukasamehe hayo, na tukampa Musa nguvu zilizo dhaahiri.