Wa 'In Yatafarraqā Yughni Allāhu Kullā Min Sa`atihi Wa Kāna Allāhu Wāsi`āan Ĥakīmāan (An-Nisā': 130).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
130. Na wakitengana Mwenyezi Mungu atamtosheleza kila mmoja katika wao kwa ukunjufu wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mkunjufu Mwenye hikima.