Wa Man Ya`mal Sū'āan 'Aw Yažlim Nafsahu Thumma Yastaghfir Allāha Yajid Allāha Ghafūrāan Raĥīmāan (An-Nisā': 110).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
110. Na anaye tenda uovu au akajidhulumu nafsi yake, kisha akaomba maghfira kwa Mwenyezi Mungu, atamkuta Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa maghfira, Mwenye kurehemu.