Wa Man Yuhājir Fī Sabīli Allāhi Yajid Al-'Arđi Murāghamāan Kathīrāan Wa Sa`atan Wa Man Yakhruj Min Baytihi Muhājirāan 'Ilaá Allāhi Wa Rasūlihi Thumma Yudrik/hu Al-Mawtu Faqad Waqa`a 'Ajruhu `Alaá Allāhi Wa Kāna Allāhu Ghafūrāan Raĥīmāan (An-Nisā': 100).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
100. Na mwenye kuhama katika Njia ya Mwenyezi Mungu atapata pengi duniani pa kukimbilia, na atapata wasaa. Na anaye toka nyumbani kwake kuhama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume wake, kisha yakamfika mauti njiani basi umethibiti ujira wake kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu.