Lā Yastawī Al-Qā`idūna Mina Al-Mu'uminīna Ghayru 'Ū Ađ-Đarari Wa Al-Mujāhidūna Fī Sabīli Allāhi Bi'amwālihim Wa 'Anfusihim Fađđala Allāhu Al-Mujāhidīna Bi'amwālihim Wa 'Anfusihim `Alaá Al-Qā`idīna Darajatan Wa Kullāan Wa`ada Allāhu Al-Ĥusnaá Wa Fađđala Allāhu Al-Mujāhidīna `Alaá Al-Qā`idīna 'Ajrāan `Ažīmāan (An-Nisā': 95).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
95. Hawawi sawa Waumini wanao kaa tu wala hawanadharura, na wale wanao pigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali yao na nafsi zao. Mwenyezi Mungu amewatukuza cheo wale wanao pigana kwa mali yao na nafsi zao kuliko wale wanao kaa tu. Ingawa Mwenyezi Mungu amewaahidi wote mashukio mema, lakini Mwenyezi Mungu amewafadhili wanao pigana kwa ujira mkubwa kuliko wanao kaa tu.