'Illā Al-Ladhīna Yaşilūna 'Ilaá Qawmin Baynakum Wa Baynahumthāqun 'Aw Jā'ūkum Ĥaşirat Şudūruhum 'An Yuqātilūkum 'Aw Yuqātilū Qawmahum Wa Law Shā'a Allāhu Lasallaţahum `Alaykum Falaqātalūkum Fa'in A`tazalūkum Falam Yuqātilūkum Wa 'Alqaw 'Ilaykum As-Salama Famā Ja`ala Allāhu Lakum `Alayhim Sabīlāan (An-Nisā': 90).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
90. Isipokuwa wale walio fungamana na watu ambao mna ahadi baina yenu na wao, au wanakujieni na vifua vyao vina dhiki kupigana nanyi, au kupigana na watu wao. Na lau angeli penda Mwenyezi Mungu angeli wasaliti juu yenu wakapigana nanyi. Basi wakijitenga nanyi, wasipigane nanyi, na wakakuleteeni amani, basi Mwenyezi Mungu hakukupeni njia kupigana nao.