Man Yashfa` Shafā`atan Ĥasanatan Yakun Lahu Naşībun Minhā Wa Man Yashfa` Shafā`atan Sayyi'atan Yakun Lahu Kiflun Minhā Wa Kāna Allāhu `Alaá Kulli Shay'in Muqītāan (An-Nisā': 85).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
85. Mwenye kusaidia msaada mwema ana fungu lake katika hayo, na mwenye kusaidia msaada mwovu naye ana sehemu yake katika hayo. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza na ujuzi juu ya kila kitu.