'Inna Allāha Ya'murukum 'An Tu'uaddū Al-'Amānāti 'Ilaá 'Ahlihā Wa 'Idhā Ĥakamtum Bayna An-Nāsi 'An Taĥkumū Bil-`Adli 'Inna Allāha Ni`immā Ya`ižukum Bihi 'Inna Allāha Kāna Samī`āan Başīrāan (An-Nisā': 58). |
58. Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni mzirudishe amana kwa wenyewe. Na mnapo hukumu baina ya watu mhukumu kwa uadilifu. Hakika haya anayo kuwaidhini Mwenyezi Mungu ni mazuri sana. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kusikia, Mwenye kuona. |