Wa Liya`lama Al-Ladhīna Nāfaqū Wa Qīla Lahum Ta`ālaw Qātilū Fī Sabīli Allāhi 'Aw Adfa`ū Qālū Law Na`lamu Qitālāan Lāttaba`nākum Hum Lilkufri Yawma'idhin 'Aqrabu Minhum Lil'īmāni Yaqūlūna Bi'afwhihim Mā Laysa Fī Qulūbihim Wa Allāhu 'A`lamu Bimā Yaktumūna ('āli `Imn: 167).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
167. Na ili awapambanue walio kuwa wanaafiki, wakaambiwa: Njooni mpigane katika Njia ya Mwenyezi Mungu au lindeni. Wakasema: Tungeli jua kuna kupigana bila ya shaka tungeli kufuateni. Wao siku ile walikuwa karibu na ukafiri kuliko Imani. Wanasema kwa midomo yao yasiyo kuwamo nyoyoni mwao. Na Mwenyezi Mungu anajua kabisa wanayo yaficha.