'Inna Al-Ladhīna Tawallaw Minkum Yawma At-Taqaá Al-Jam`āni 'Innamā Astazallahum Ash-Shayţānu Biba`đi Mā Kasabū Wa Laqad `Afā Allāhu `Anhum 'Inna Allāha Ghafūrun Ĥalīmun ('āli `Imrān: 155). |
| 155. Hakika wale walio rudi nyuma miongoni mwenu siku yalipo pambana majeshi mawili, Shet'ani ndiye aliye watelezesha kwa sababu ya baadhi ya makosa waliyo yafanya; na Mwenyezi Mungu amekwisha wasamehe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mpole. |