Qul Yā 'Ahla Al-Kitābi Ta`ālaw 'Ilaá Kalimatin Sawā'in Baynanā Wa Baynakum 'Allā Na`buda 'Illā Allāha Wa Lā Nushrika Bihi Shay'āan Wa Lā Yattakhidha Ba`đunā Ba`đāan 'Arbābāan Min Dūni Allāhi Fa'in Tawallaw Faqūlū Ash/hadū Bi'annā Muslimūna ('āli `Imrān: 64). |
| 64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. |