Qul 'In Kuntum Tuĥibbūna Allāha Fa Attabi`ūnī Yuĥbibkum Allāhu Wa Yaghfir Lakum Dhunūbakum Wa Allāhu Ghafūrun Raĥīmun ('āli `Imn: 31).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
31. Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufuta madhambi na Mwenye kurehemu.