'Alam Taraá 'Ilaá Al-Ladhīna 'Ūtū Naşībāan Mina Al-Kitābi Yud`awna 'Ilaá Kitābi Allāhi Liyaĥkuma Baynahum Thumma Yatawallaá Farīqun Minhum Wa Hum Mu`rūna ('āli `Imn: 23).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
23. Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa.