Lilfuqarā'i Al-Ladhīna 'Uĥşirū Fī Sabīli Allāhi Lā Yastaţī`ūna Đarbāan Al-'Arđi Yaĥsabuhum Al-Jāhilu 'Aghniyā'a Mina At-Ta`affufi Ta`rifuhum Bisīmāhum Lā Yas'alūna An-Nāsa 'Ilĥāfāan Wa Mā Tunfiqū Min Khayrin Fa'inna Allāha Bihi `Alīmun (Al-Baqarah: 273).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
273. Nawapewe mafakiri walio zuilika katika njia za Mwenyezi Mungu, wasio weza kusafiri katika nchi kutafuta riziki. Asiye wajua hali zao huwadhania kuwa ni matajiri kwa sababu ya kujizuia kwao. Utawatambua kwa alama zao; hawang'ang'analii watu kwa kuwaomba. Na kheri yoyote mnayo toa, basi kwa yakini Mwenyezi Mungu anaijua.