'In Tub Aş-Şadaqāti Fani`immā Hiya Wa 'In Tukhfūhā Wa Tu'utūhā Al-Fuqarā'a Fahuwa Khayrun Lakum Wa Yukaffiru `Ankum Min Sayyi'ātikum Wa Allāhu Bimā Ta`malūna Khabīrun (Al-Baqarah: 271).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
271. Mkizidhihirisha sadaka ni vizuri; na mkizificha mkawapa mafakiri kwa siri basi hivyo ni kheri kwenu, na yatakuondoleeni baadhi ya maovu yenu. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.