Allāhu Wa Līyu Al-Ladhīna 'Āmanū Yukhrijuhum Mina Až-Žulumāti 'Ilaá An-Nūr Wa Al-Ladhīna Kafarū 'Awliyā'uuhum Aţ-Ţāghūtu Yukhrijūnahum Mina An-Nūr 'Ilaá Až-Žulumāti 'Ūlā'ika 'Aşĥābu An-Nāri Hum Fīhā Khālidūna (Al-Baqarah: 257). |
257. Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa walio amini. Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. Lakini walio kufuru, walinzi wao ni Mashet'ani. Huwatoa kwenye mwangaza na kuwaingiza gizani. Hao ndio watu wa Motoni, na humo watadumu. |