Fa'in Khiftum Farijālāan 'Aw Rukbānāan Fa'idhā 'Amintumdhkurū Allāha Kamā `Allamakum Mā Lam Takūnū Ta`lamūna (Al-Baqarah: 239).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
239. Ikiwa mnakhofu (Salini) na hali mnakwenda kwa miguu au mmepanda. Na mtakapo kuwa katika amani, basi mkumbukeni Mwenyezi Mungu kama alivyo kufunzeni yale mliyo kuwa hamyajui.