Fa'in 'Āmanū Bimithli Mā 'Āmantum Bihi Faqad Ahtadaw Wa 'In Tawallaw Fa'innamā HumShiqāqin Fasayakfīkahum Allāhu Wa Huwa As-Samī`u Al-`Alīmu (Al-Baqarah: 137).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
137. Basi wakiamini kama mnavyo amini nyinyi, itakuwa kweli wameongoka. Na wakikengeuka basi wao wamo katika upinzani tu. Na Mwenyezi Mungu atakutosheni kukukingeni na shari yao, na Yeye ndiye Msikizi, Mjuzi.