Wa Waşşaá Bihā 'Ibrāhīmu Banīhi Wa Ya`qūbu Yā Banīya 'Inna Allāha Aşţafaá Lakum Ad-Dīna Falā Tamūtunna 'Illā Wa 'Antum Muslimūna (Al-Baqarah: 132). |
| 132. Na Ibrahim akawausia wanawe, na pia Yaaqub: Enyi wanangu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteulieni Dini hii; basi msife ila nanyi mmekuwa Waislamu, wanyenyekevu. |