Wa Qāla Al-Ladhīna Lā Ya`lamūna Lawlā Yukallimunā Allāhu 'Aw Ta'tīnā 'Āyatun Kadhālika Qāla Al-Ladhīna Min Qablihim Mithla Qawlihim Tashābahat Qulūbuhum Qad Bayyannā Al-'Āyāti Liqawmin Yūqinūna (Al-Baqarah: 118). |
| 118. Na walisema wale wasio jua kitu: Mbona Mwenyezi Mungu hasemi nasi au zikatufikia Ishara. Kama hivyo walisema wale walio kuwa kabla yao mfano wa kauli yao hii. Nyoyo zao zimefanana. Hakika Sisi tumeziweka wazi Ishara kwa watu wenye yakini. |