'Am Turīdūna 'An Tas'alū Rasūlakum Kamā Su'ila Mūsaá Min Qablu Wa Man Yatabaddal Al-Kufra Bil-'Īmāni Faqad Đalla Sawā'a As-Sabīli (Al-Baqarah: 108).

<< Previous Sūrah    <Previous Ayah    Next Ayah >    Next Sūrah >>    Recite again    
108. Au mnataka kumwomba Mtume wenu kama alivyo ombwa Musa zamani? Na anaye badilisha Imani kwa ukafiri bila ya shaka huyo ameipotea njia iliyo sawa.