'Am Turīdūna 'An Tas'alū Rasūlakum Kamā Su'ila Mūsaá Min Qablu Wa Man Yatabaddal Al-Kufra Bil-'Īmāni Faqad Đalla Sawā'a As-Sabīli (Al-Baqarah: 108). |
| 108. Au mnataka kumwomba Mtume wenu kama alivyo ombwa Musa zamani? Na anaye badilisha Imani kwa ukafiri bila ya shaka huyo ameipotea njia iliyo sawa. |